OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MKOA WA LINDI
MTIHANI WA KABLA YA MTIHANI WA TAIFA KIDATO CHA NNE
ELIMU YA DINI YA KIISLAMU
CODE:015.
MUDA:- SAA 3.00 SEPTEMBA, 2023
Maelekezo
1. Mtihani huu una sehemu tatu A, B na C zenyejumlayamaswalikuminamoja (11).
2. Jibumaswali yote katikasehemu A na B namaswalimawili (2) kutokasehemu C.
3. Hakikishaunasomamaelekezoyakilaswalikwaumakini.
4. Simu zamkononinavituvyotevisivyoruhusiwahavitakiwikatikachumba cha mtihani.
5. HakikishaunaandikaNambayakoyaMtihanikatikakilaukurasawakijitabuchako cha majibu.
SEHEMU A (Alama 16)
Jibumaswali yote katikasehemuhii
1. Chaguaherufiyajibusahihikatikavipengele (i) hadi (x) kishaandikaherufiyajibu
kwenyekijitabuchako cha kujibia.
(i). Umetakiwakuelezaainambilizaelimuzinazokubalikakwamujibuwauislamu. Ni
ainazipimbilizaelimuutakazozitumiakuwasilishamadauliyotakiwakueleza?
A. Elimu dunia naElimuakhera B. ElimuyamuongozonaElimuyamazingira
C. Elimuya Dini naelimu dunia D. Elimuyafaradhinaelimuya sunnah
E. ElimuyaibadamaalumnaElimuyaibadambalimbali.
(ii). Firaunikatika Maisha yakealikanushakuwepokwaMwenyeziMungulakinisikuile
Allah (s.w) anamzamishabaharinialikirikumjuaMwenyeziMungu. Ni jambogani
lililomfanyakumtabua Allah (s.w) wakatihuo?
A. Malaika wakutoarohoalimpamawaidha B. Muda ulealionaalamazakuwepo Allah (sw)
C. Fitra -hisiazakumjua Allah alizopandikizwanaAllah(s.w)
D.Ilehaliyasakaratulmautialiyokuwanayo
E. Ile haliyamatesoaliyoipatawakatianaangamia.
(iii). WatuwakaumuyaNabiiLutwaliangamizwakwaudongowamotonikutokanana
maovuyao. Ni madhambiganiutakayoyalengakuwaonyawatuwakoiliwasijepataadhabu kali kamailivyokuwakwawatuwaLut?
A.Zinaanakujihusishanakamari B. Mauajinakupunjavipimo
C. Kuingilianakinyume cha maumbilenaujambazi D. Kupunjavipimonakuzikawatotowa kike wakiwahai
E. Kunyonyawanyongenakumshirikisha Allah (s.w).
(iv). Jumanikijanaambayeamejitenganajamiikwaajiliyakufanyaibadanaamesemahataoanamudamwingiatafunganaanajitengana mambo hayayamaendeleoya dunia iliapate pepo. Kwa mujibuwauislamuyeyetunamuwekakatikakundigani?
A. Kundi la Wapagani B. Kundi la Makafiri
C. Kundi la washirikina D. Kundi la watawa.
E. Kundi la wachaMungu
(v). Babuyakonimgonjwanaimefikazamuyakokukaanaye, ghaflaamekataroho. Ni
mambo ganikatiyahayautakayomfanyiamarabaadayakutokeahalihiyo?
A. Kufumbamdomo, macho nakumnyooshaviungovyamwili. B. Kumpamajiyakunywanakumuogesha C.Kumtamkisha shahada nakumtawadhisha D. Kumpakamanukato, kuvukizaubaninakumpamajiyakunywa E. Kumlazaubavukuelekea qibla nakumtamkishaLaillahailallah.
(vi). Kaku alidaikuwaanawezakuishiakiwamuislamukamilikwakufuata Qur’an tubilasunnah yaMtume (s.a.w). Je, nikwaninidaihili la Kaku siosahihi?
A. Mtume (s.a.w) ndiyealiyeitafsiri Qur’an kivitendo. B. Hakuna tofautikatiya Sunnah na Qur’an
C. Qur’an nasunnavyoteniwahyi. D. TabiayaMtume (s.a.w) ilikuwa Qur’an.
E. Qura’nndiouislamuwenyewe
(vii) Ni ipifaidaunayoipatakatika Maisha yakoyakilasikuunapotekelezanguzotanoza
Uislamukikamilfu?
A. Ndioutekelezajikamiliwauislamukatikamaishayakilasiku B.Nguzotanonikifutio cha madhambiyakilasiku
C. Nguzotanozauislamuhutusaidiakufikialengo la kuumbwakwetukirahisi. D. Nguzotanozauislamundiouislamuwenyewe.
E. Nguzotanozauislamuhumfanyamtukupata thawab nakuingiapeponi.
(viii) “Bali hiini Qur’an tukufuiliyotolewakatikaLawhiMmahfuudh (huoubao
uliohifadhiwa)…” (85:21-22). Baadayahatuahiinihatuaganiilifuatakatikaushukajiwa Qur’an?
A. IlishukakidogokidogokwaMtume (s.a.w). B. Ilishuka yote mpakauwinguwa kwanza.
C. Ilishukakwa Jibril (a.s) kablayaMtume (s.a.w) D.IlihifadhiwanamaswahabawaMtume (s.a.w)
E. Iliandikwakatikakaratasi, magome, mawenangozi.
(ix). Mzee Said alimuusiamwanaekutoasadakakwasiri. Kwa niniMzee Said alimuusiamwanaehivyo?
A. Ili makafiriwasijue. B. Ili aepukanena ria.
C. Ili pasitokeeunyang’anyi . D. Allah (s w) ndivyoanavyopenda.
E. Ili watuwasimjuekuwayeyenitajiri
(x) Kablayakuzaliwamtume (s.a.w) haliyamaadilikatika bara Arabuilikuwasioya
kutamanika.Nitabiazipikwasasazinawezakutumikakuelezeahalihizo?
A.Kukithirikwakamari,ulevinauzinifuB.Uvaajimodonakunyoakiduku
C.LiwatinausagajiD.Kusuka Rasta nakuzikawatotowa kike hai .
E.Kuvutabanginamadawayakulevya.
2. Oanishaainazamazaokutokaorodha A nanisaabzamazaohayokutokaorodha B kishauandikeherufiyajibusahihikatikakijitabuchako cha kujibia.
ORODHA A. ORODHA B
(i) MazaoyaShambani | A .Tola 7.5 |
(ii) Dhahabunavito | B. Kilo 666 |
(iiiMaliyakuokotwa | C.Thamaniyoyote |
(iv) Ng'ombe | D.Kilogram 66.6 |
(v) Ngamia | E.Arobaini |
(vi) Kondoo | F.Thelathini |
| G.Watano |
SEHEMU B (Alama 54)
Jibumaswali yote katikasehemuhii.
3. Baadayandoakufungishwawaliiamekupajukumu la kumuelimishamuoajijuuyawajibuwake kwamkealiyemuoa. Bainishamajukumu matatu utakayotumiakatikakufafanuajukumuulilopewa.
4. MakadianiwameitishamhadharamtaanikwenunawanahubirikuwabaadayaMtume
(s.a.w) yupomtumemwingineatakayekuja. Ni hojazipitatuutakazozijengakufutadhanahiyopotofu?
5. KatikakuadhimishasikuyaWatotoduniani sheikh JarufialialikwakuelezahakizaWatoto
kwamujibuwauislamu. AinishahakizipitatuambazoungemshauriJarufikuzitumia
katikakuwasilishamadayake?
6. Umewakutawatuwasiowaislamwakidaikuwakatikadinisheriahazinaumuhimuwalakaziyoyote. Tumiadondootatukuwaoneshakuwakatikadiniyauislamuhilosiosahihi.
7. SuratulTakaathur Ina mafunzombalimbalikatikajamiiyawaislamuwaLeo,elezakwaufupimafunzo matatu yahusuyo Mali nawatotoyanayopatikanakatikasurahiyoiliwaislamuwachukuetahadharikablayakifo
.8. "...............Na anayemshirikishaMweyeziMungukwahakikaamezuadhambikubwa"(4:48). Kwa kutumiaAyahiielezakwaufupiainatatu (03) za shirk.
SEHEMU C (Alama 30)
Jibumaswalimawili (02) tukatikasehemuhii
9. UtafitiuliofanyikakatikaMkoawaLindiumebainikuwawapowaislamuwanaoswaliswalatanolakinibadowanashirikikatikakufanyamaovumbalimbali. Toa sababunnezinazowezakuwasababuzahalihiyokutokea.
10.Qur'an ilishushwakwaMtume (s.a.w) akiwa Makkah nabaadaeMadina,Haliambayoilisababishautofautiwasurazilizoshushwakatikamaeneohayo.Oneshatofautinne (04).
11. Uandishiwa hadith zaMtume (s.a.w) ulipitiwanavipindivinnelakinikatikakipindi cha Mtume( s.a.w) uandishiulikuwamdogosana au haukuwepo. Toa ufafanuziuliopelekeahalihiyokutokea (dondoonne).
FORM FOUR EDK EXAM SERIES 191
FORM FOUR EDK EXAM SERIES 191
Bismillah Rahman Rahiim
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
MTIHANI WA UTAMILIFU MKOA WA DODOMA 2020
0015 ELIMU YA DINI YA KIISLAMU
(Kwa watahiniwaWaliokonaWasiokuwaShuleni)
MUDA: Masaa3 Jumanne, 11 Agosti 2020mchana
Maelekezo
1.Karatasi hiii na sehemu A,B na C zenye jumla ya maswali kumi na tatu (13).
2.Jibu maswali yote sehemu A,B na matatu toka sehemu C.
3.Majibu yaandikwe katika karatasi ya kujibia uliyopewa.
4.Andika kwa kutumia kalamu ya wino wa bluu au nyeusi.
5.Simu za mkononi haziruhusiwi katika chumba cha mtihani.
6.Andika namba yako ya mtihani katika kila karatasi yako ya kujibia.
SEHEMU A.(ALAMA 20)
Jibu mawaliyotekatikasehemuhii
1. Chagua jibu sahihi katika kipengele (i) – (x) kisha andika herufi yake katika karatasi yako ya kujibia.
i. Maswahaba mashuhuri waliopokea Hadithi nyingi za dini;
A. AbuuBakari (r.a) na Bi Aysha (r.a) B. Abdallah bin Umar na Abdallah bin Abbas
C. AbuuHurayrah (r.a) Bi Aysha (r.a) D. Abas na Ally bin Abiitwalibi (r.a).
E. Abdul-Rahman bin Auf na Zaid Harith (r.a).
ii. Miongoni mwa sababu zilizoongeza msukumo wa mahitaji ya kukusanya hadithini;
A. Kuzuka kwa Mitume wa uongo B. Kufuata rai za maswahaba na makhalifa
C. Kuwepokwauaduidhidiyauislamu D. Kufuata sunna ya Mtume (s.a.w)
E. Kuwepo na mashindano ya kuhifadhi hadithi
iii. Hadithi zilizosimuliwa na watu zaidi ya watatu kwa nyakati mbalimbali huitwa hadithi
A. Mudhui B. Nabawiyyi C. Mutawatir D. Sahihi E. Ahad
iv. Kauli inayodhihirisha mtazamo potofu kuhusu Sunnah ni pamoja na kuonekana kuwa sunnah;
v. Hadithi za Mtume (s.a.w) zinafahamika hadihi vileo kwa sababu;
vi. Kitabu kilichoandikwa katika kipindi cha wafuasi wa maswwahabani:
A. Sahihul-Bukhar B. Al-qataday C. Jamiu al-Tirmidh
D. AL-Muwattwa-a E. Sunanya An-Nisai
vii. Tukio lilitokea katika kipindi cha maswahaba na kufanya uandishi wa hadithi kuwa muhimu ni:
A. Kutoweka kwa maswahaba w aMtume (s.a.w) B. KutawafukwaMtume (s.a.w)
C. Kuzukakwa vita D. Kuzuka kwa hadithi za uongo
E. Kupanukakwadolayakiislamu
viii. Vitabu sita mashuhuri vya hadithi vimeitwa sahihi sita kwa sababu vimeandikwa na waandishi;
ix. Ilyasa bin Salama amesimulia kutoka kwa baba yake kuwa Mtumewa Allah amesema: “Yule ashikae upanga (silaha) dhidi yetu si pamoja na sisi”. (Muslim). Ni ipimatiniyahadithihii?
x. Tofauti ya msingi baina ya Qur’an na Hadithi ni:
A. Isnadi B. Matini C. Rawi D. Hassani E. Maudhui
xi. Amesema Mtume (s.a.w) “kila jambo jema analolifanya Muislamu ni sadak” huo ni mfano wa:
A. Matini B. Isnadi C. Rawi D. Maudhui E. Hassani
xii. Usemi au habari aliyoitoa mtume mwenyew ehuitwa
A. Hadith Qudusiy B. Hadith Nabawiyya C. Hadith Hassan
D. Hadith sahih E. Hadith Dhaifu
xiii. Habari aliyoitoa Mtume (s.a.w) kama alivyoipokea kutoka kwa mwenyezi lakini iliyo nje ya Qur’an huitwa
A. Hadith Sahih B. Hadith Nabawiyya C. Hadith Qudusiy
D. Hadith Dhaifu E. Hadith Hassani
xiv. Hadithi ambayo wapokezi wake niwaadilifu isipokuwa hawakufikia sifa za wapokeaji wa hadithi sahihi kwa upungufu wa kuhifadhi huitwa
A. Hadith Hassan B. Hadith Dhaifu C. Hadith Maudhui
D. Hadith sahihi E. Hadith Nabawiyya
2.Oanisha manenokutokaorodha B na sentensi kutoka A. Kisha jaza herufi yake katika jedwali.
ORODHA A. | ORODHA B. |
i.Suraya Qur'an ambayo haijaanza na Bismillah | A.Suratul-kaafirun |
ii.Wahyi wa mwanzo wa Mtume | B.Suratul-Nasi |
iii.Mwanadamu anahitaji mwongozo wa maisha kutoka kwa mola wake. | C.Suratul-fatiha |
iv.Sura ya mwisho kushushwa | D.Suratul-Ikhas |
V. semaenyimakafiri | E.Suratul-Alaq(96:1-5) |
F.Suratul-Tawba | |
G.Suratul-Quraish |
SEHEMU B(ALAMA 35)
Jibu maswali yote katika sehemu hii kwa ufupi.
3.Taja aina za mali tano ambazo muislamu akimiliki analazimika kuzitolea za kat
i........ ii....... ii....... i....... v.......
4. (a) Ainisha masharti matatu ilimaitia swaliwekiislamu.
(b) Toa maanaya neon ibada.
(c)Ainisha mtazamo potofu juu ya ibada (hoja 2)
5.Aina mbili za talaka kwa mujibu wa uislamuni
i........................... ii..........................
6.Taja mambo matano yasiyobatilisha funga
i....... ii....... iii....... iv....... v.......
7.Orodhesha alamakuu tano za kuonesha uwepo wa Allah(S.w)
i..... ii...... iii........iv......... v........
8.Maiti ya muislamu ambaye hakufa shahidinifaradhikuoshwa
i........, ii. ........... nakuzikwa.
9.Taja faida tano za ndoa kwa mtazamo wa uislamu
i....... ii....... iii....... iv......... v..........
SEHEMU C (ALAMA 45)
Jibumaswalimatatutukatikasehemuhii.
10. Tuongoze katika njia iliyonyooka. Njia ya wale uliowaneemeshasio wale waliokasirikiwa wala ya wale waliopotea (1:6-7).
Eleza kwanini mwanadamu anahitaji mwongozo kutoka kwa Allah(S.w). Toa sababu tano.
11. Kwa kuzingatia hali halisi ya maisha ya jamii na Qur'an eleza sababu tano zinazolazimu iwepo siku ya malipo.
12."Na motto mwanamke aliyezikwa hali yakuwa yu hai atakapoulizwa kwa makosa gani aliuliwa? (81:8-9) kwa kuzingatia aya uliyopewa na aya nyingine kutoka kwenye Qur'an na Sunha ainisha haki tano za mwanamke zitolewazo na uislamu.
13. Dola ya Kiislamu Madina ilikumbana na upinzani mzito sana kutoka katika tawala za (maadui) makafiri wakuu watano. Kwa mifano thabiti eleza maadui hao ni akina nani?
FORM FOUR EDK EXAM SERIES 189
FORM FOUR EDK EXAM SERIES 189